View allAll Photos Tagged sylvester
Pamoja na Mambo mengine, Askofu Sylvester Gamanywa alisema, "Tusome kwenye Biblia" 2 Wakorintho 10:3-5.
3 Maana ingawa tunaenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; 4 maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome. 5 Tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; tukiteka nyara kila fikra ipate kumtii Kristo.
Unaweza kuongezea mstari wa sita kama mimi nilivyoongezea. 6 Tena tukiwa tayari kupatiliza maasi yote kutii kwenu kutakapotimia.
Kikundi cha kwaya cha HEKIMA, kikiwa nyuma ya Askofu Sylvester Gamanywa, wakiimba "Siku mbaya zinakuja, mbona mwasitasita, unangoja mpaka siku ziishe, utalia na nani, au ni Yesu.
Ni nani wa kulaumiwa wakati siku zote unahubiriwa, na hata sasa unahubiriwa.
Wimbo wa kwaya hii ulipoisha, Askofu akaongezea, Simama kwa Miguu yako, Usiogope, usiwaze kitu kingine. Tii neno lake Mungu, la sivyo utaangamia, tii neno lake...
Utasitasita mpaka lini?
Utasema Mungu haoni, Mungu hawezi!
Mungu anakuona, anasikia, sikiliza sauti yake.
Simama katika neno lake, utauona wokovu wa Bwana na unakuzingira ukikulinda na mikono ya wabaya wala mashambulizi yao hayatakufikia tena.
Baada ya maombezi hayo, Mtumishi huyu wa Mungu, aliyeitwa kwa ajili ya uponyaji kwa watu wenye matatizo sugu yakipona kwa Jina la Yesu, kukemea mapepo na yanaondoka.
Alimalizia kwa kusema, "Baba nakushukuru kwa operation hiyo juu ya watu wako.
Nakushukuru kwa kuganga mioyo yao iliyovunjika.
Asante kwa ngome zilizoshushwa.
Maneno haya ya kuwaombea watu mbalimbali, yalifuatia mahubiri yaliyotoka katika kitabu cha Mathayo 4:3-4 "Ikiwa wewe ndio mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mkate. Yesu akajibu na kusema, Imeandikwa, mtu hataishi kwa mkate tu; Bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Majibu haya yalimfanya Yesu awe na msimamo, kuwa neno linalotakiwa tulishike ni lile la Mungu na si kila unalohubiriwa na shetani au waka wake.
Akathibitisha Yesu kuwa, Ana uzima na wala hatakufa kwa uweza wa maneno yatokayo katika kinywa cha Mungu.
Alipomalizia na kuacha kipaza sauti, Mchungaji Kadeghe alimpokea na kusema....
Gonga linki hii...http://www.flickr.com/photos/familiayawapo/540368656/
Sylvester – Rock The Box
Label:Cooltempo – COOLX 104
Format:Vinyl, 12", 45 RPM
Country:UK
Released:1984
Genre:Electronic
Style:Dub, Electro
A1 Rock The Box (Dance Version)
A2 Rock The Box (Drum Box)
B Rock The Box (Dub Box)
Some playful shots of Sylvester, including one where I caught him sticking out his tongue!! :))
DAFFY"S BEST BUDDY!!!