View allAll Photos Tagged MAHindi
Jerry LeDuff, Javier Barrios, Ozzie Rivera, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio - all of the musical instruments belong to Jerry LeDuff.
Explored #152 October 3, 2012
Abi wanted to cover her body in mehendi (henna) as a celebration. After a weekend of covering the majority of her skin in words, designs and scripture I photographed her in the room she lived in last year as the sun came up. More photos to come...
sw.kingdomsalvation.org/i-saw-the-protection-of-god.html?
Wakati wa Uzoefu Mmoja Niliona Ulinzi wa Mungu
Yongxin, Jiji la Yibin, Mkoa wa Sichuan
Hatukuwahi kumwamini Mungu kabla. Mnamo mwaka wa 2005, tukitiwa moyo na Mungu, mume wangu, baba mkwe wangu, mjomba wangu, na mimi wote tuliikubali kazi ya Mungu ya siku za mwisho. Baada ya muda mfupi, kanisa lilinipangia kufanya wajibu wa kuhifadhi vitabu. Baadaye, nyumba yetu ilishika moto, na wakati wa moto huu tulipokea ulinzi wa Mungu wa ajabu. Mungu kwa hakika ni mwenyezi!
Siku moja mwezi wa Machi ya mwaka wa 2006, baada ya chakula cha mchana takriban saa saba adhuhuri, kulikuwa kukinya theluji sana nje. Mume wangu, binti yangu na mimi tulikuwa ndani, tukijipasha joto kando ya moto na kubambua mahindi, wakati tuliposikia kwa ghafla sauti kutoka nje ikipiga yowe kwa sauti kubwa, “Nyumba yenu inachomeka! Haraka, tokeni nje na kuizima!” Kwa haraka tulikimbia nje, na kuona kwamba moto ulikuwa tayari umechoma paa la jikoni na banda la nguruwe. Wasioamini watatu walitusaidia kuuzima moto, na wakapaaza sauti, “Njooni msaidie kuzima moto!” Vijiji viwili jirani vilisikia ukelele wetu, na mara moja watu 30 au 40 wakaja kutusaidia kuzima moto. Wakati huo, nikasikia mtu akisema, “Je, familia hii haimwamini Mungu? Je, moto ungewafikaje? Sasa vile nyumba yao inawaka, ona kama bado wanamwamini Mungu.” Wakati huu, sikujali kile walichokuwa wakisema. Niliona kuwa moto ulikuwa unazidi kuwa mkali zaidi. Upepo mkali uliusukuma moto uliosukasuka moja kwa moja kuelekea sehemu kuu ya nyumba yetu. Nilikuwa na wasiwasi sana moyoni mwangu, kwa sababu ndani ya nyumba kulikuwa na vitabu vya kanisa na nafaka za familia yetu. Katika wakati huu wa kukata tamaa, ningemwita tu Mungu bila kukoma: “Ewe Mungu! Uweze kutunza na kulinda vitabu vya kanisa na nafaka zetu, usiviache vichomeke.” Baada ya mimi kuomba, muujiza ulifanyika. Upepo ghafla ukabadilisha mwelekeo; ni hapo tu nilipopunguza wasiwasi moyoni mwangu, kwa kuwa nilijua kwamba vitu vilivyokuwa ndani ya nyumba yetu vyote vilihifadhiwa. Baada ya kusikia watu waliokuwa wakiuzima moto wakiongea kuhusu vitu vilivyochomeka vilikuwa vya thamani gani ya fedha, tulikumbuka kwa ghafla kuwa kulikuwa na nguruwe wawili katika banda la nguruwe. Mume wangu akakimbia kuwaokoa; mara alipokuwa ameingia, ghafla kipande cha kifusi kilichowaka moto kilianguka na kuuziba mlango. Baada ya kuona hili nilijawa na hofu, na nikamlilia Mungu kabisa ndani ya moyo wangu, nikimsihi Amtunze na kumlinda mume wangu. Wale wasioamini wote walikuwa na wasiwasi kwamba mume wangu alikuwa katika hatari kubwa. Hata hivyo, kila mtu alipokuwa akitazama, mume wangu hatimaye aliibuka kutoka kwa moto akiwa salama salimini, akiwasongesha mbele nguruwe wawili kila mmoja akiwa na uzito wa zaidi ya kilo 50. Kwa wakati huu, moyo wangu hatimaye ukawa mtulivu. Moto huo uliwaka kwa saa moja au zaidi, kwa jumla ukichoma jikoni na mabanda mawili ya nguruwe, na kusababisha hasara ya takriban yuan elfu nne.
Ilikuwa baadaye tu tulipokuja kujua kwamba moto huu mkubwa ulikuwa umeanzishwa na mtoto aliyekuwa akicheza na moto. Kwa wakati huu, nilikumbuka maneno ya Mungu: “Katika kila hatua ya kazi anayoifanya Mungu ndani ya watu, kwa nje inaonekana kama maingiliano kati ya watu, kana kwamba yalizaliwa kwa mipango ya wanadamu au kutokana na kuingilia kwa wanadamu. Ila kisirisiri, hatua ya kazi, na kila kitu kinachotendeka, ni pingamizi la Shetani kwa Mungu, na huhitaji watu kuwa imara katika ushuhuda wao kwa Mungu. Kwa mfano, tazama wakati Ayubu alijaribiwa: kisirisiri, Shetani alikuwa akiwekeana dau na Mungu, na kilichomtokea Ayubu kilikuwa ni matendo ya wanadamu, na kuingilia kwa wanadamu. Kuna pingamizi la Shetani kwa Mungu katika kila hatua ambayo Mungu anatenda ndani yenu—katika kila kitu kuna vita. … Wakati Mungu na Shetani wanapigana katika milki ya kiroho, utamridhishaje Mungu, na utasimamaje imara katika ushuhuda wako Kwake? Unapaswa kujua kuwa kila kitu unachokipitia ni majaribu makubwa na ndipo Mungu hukuhitaji kuwa na ushuhuda. … Ikiwa utawavutia ndugu na dada zako, wanafamilia, na kila aliye karibu nawe; ikiwa siku moja wasioamini watakuja na wavutiwe na yote unenayo na utendayo, na kuona kuwa yote afanyayo Mungu ni ya ajabu, basi utakuwa umekuwa na ushuhuda” (“Kumpenda Mungu Tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli” katika Neno Laonekana katika Mwili). Katika maneno ya Mungu nilielewa kuwa leo wakati familia yangu ilipoukabili uchomekaji wa nyumba yetu, kijuujuu ilionekana kuwa ulianzishwa na mtoto aliyekuwa akicheza na moto, lakini katika ulimwengu wa kiroho ilikuwa kwa kweli ni Shetani na Mungu wakiwa na dau. Shetani alitaka kutumia hili kunifanya nimlaumu Mungu, kumsaliti Mungu, na kumkana Mungu. Wakati wasioamini waliposema, “Nyumba ya familia hii inachomeka, ona kama bado wanamwamini Mungu,” hiki kilikuwa ni kishawishi cha Shetani kikinikabili. Kama ningewafuata wasioamini katika kumlaumu Mungu na kumhukumu Mungu, basi ningekuwa nimepoteza ushuhuda. Nilipofahamu mapenzi ya Mungu, nilimwomba Mungu: “Ee Mungu! Nilichokikabili leo ni jaribio Lako kwangu, na pia ni kishawishi cha Shetani. Uweze kunipa imani na nguvu, na uniepushe na malalamiko katika jambo hili ili nipate kuwa shahidi kwa ajili Yako mbele ya Shetani. Ninaamini kwamba mambo yote na vitu viko mikononi Mwako. Jaala yangu iko mikononi Mwako, nami nitaitii ukuu Wako na mipango.”
Jioni hiyo, familia yetu ilikusanyika pamoja kama kawaida ili kula na kunywa maneno ya Mungu, na nikamuuliza mume wangu, “Mbao zako zimechomwa moto, je, unamlaumu Mungu?” Akasema, “Kuna nini cha kulalamikia? Nilipokwenda kwa banda la nguruwe kuwafungulia nguruwe, nyote mliona wasiwasi kwa maisha yangu, na kuwa na hofu kwamba kitu kingenitendekea, lakini moyoni mwangu sikuwa natishika hata kidogo, na hatimaye niliibuka salama salimini. Je, si huu ni ulinzi wa Mungu? Kama si kwa ulinzi wa Mungu, nyumba yetu yote ingeteketezwa, na kuhusu maisha yangu ni vigumu kusema. Tuna kile tulicho nacho leo, na tunapaswa kumshukuru Mungu kwa utunzaji na ulinzi Wake, na kumshukuru kwa upendo Wake kwetu.” Kweli, wakati wa uzoefu huu, niliona kwa kweli Mungu akitutunza na kutulinda. Baada ya nyumba yetu kuchomeka, kama si kwa Mungu kuwahamasisha watu kadhaa kuja na kuuzima moto huo, basi kuitegemea nguvu za familia yetu peke yake hakungekuwa njia ya kuuzima moto. Upepo ulipokuwa ukisukuma moto chini kwelekea sehemu kuu ya nyumba yetu, kama si kwa Mungu kutumia nguvu Zake kuu kubadili mwelekeo wa upepo, basi vitabu vya kanisa, nafaka zetu na nyumba yetu yote ingekuwa imeteketezwa. Wakati mume wangu alipoukabili moto bila woga ili kuwaokoa nguruwe, kama haingekuwa ulinzi wa Mungu, chini ya ukali wa moto mkubwa kama huo ingewezekana kabisa kuwa mume wangu angechomeka hadi kufa, hangeweza kutoka nje tu bila kuumia hata unywele mmoja kichwani mwake. Tulivyozidi kuwasiliana kwa karibu, ndivyo tulivyozidi kuona nguvu kubwa ya Mungu na upendo. Hatukulalamika u, lakini mioyo yetu ilijaa shukrani isiyo na kikomo kwa Mungu.
Kutokana na uzoefu huu, niliona kwa macho yangu mwenyewe uweza wa Mungu na matendo Yake ya ajabu, na pia nilihisi wema Wake na uzuri Wake. Ingawa baada ya moto, hali ya familia yetu ilikuwa mbaya kidogo kuliko hapo awali, haikubadilisha kabisa moyo wangu ambao humfuata Mungu. Bila kujali wengine husema nini, naamini kabisa kwamba bila kujali jinsi ambavyo Mungu hutenda, daima ni kuwaokoa watu, na kuwakamilisha. Najua kwamba kulingana na hadhi yangu mwenyewe ilikuwa haiwezekani kabisa kuwa shahidi. Wakati wa jaribio hili, niliweza kuwa shahidi na kumwaibisha Shetani, na yote ni matokeo ya kazi ya Mungu. Kuanzia sasa kwendelea, nitasoma maneno ya Mungu zaidi, kujiandaa na ukweli zaidi, na wakati wa majaribu ya aina zote kuwa shahidi kwa Mungu na hadhi yangu halisi. Utukufu wote uweze kupewa Mwenyezi Mungu!
Image Source: Kanisa la Mwenyezi Mungu
Terms of Use: sw.kingdomsalvation.org/disclaimer.html
Shannon and I were so excited to get mahindi done the entire time we were in India. We didn't have time to do it in Bangalore so when we made it to Chennai we went to a salon right away and asked for mahindi.
But we had in mind our own idea of what "mahindi" would look like for us. First we asked for asymmetrical designs, then different designs for each appendage (usually your feet or hands match), and then we asked for the mahindi to go up to our shoulders on ONE arm - this was the shocker! No one had ever asked for the henna design to go past the middle of the forearms according to our henna artist! It's actually quite logical since women are practically ostracized for publicly wearing tank tops!
slight digression here - the one thing shannon and I missed - publicly wearing tank tops. Sukimar, our 50+ year old colleague who we traveled with specifically forbade us from wearing spaghetti straps. He was not joking. We were a little annoyed at first but after 3 weeks there I am glad he warned us not to wear any in public.
ok back to mahinid - so After the henna dye is applied, it has to dry for 2 hours. The woman encouraged Shannon and I to walk around the mall and come back after 2 hours.. I didn't want to walk around because that meant we would be walking around publicly in tank tops and I knew we would stop all floors of the mall. Shannon, being optimistic and carefree as she always is, told me that I was being overly cautious (which can be a very accurate description of me sometimes). I had no choice but to begrudingly go with Shannon because otherwise that meant we would sweat ourselves away on the 2nd floor of salon for 2 more hours. We had already been there for 2 hours.
The minute we stepped into the mall area out of the salon, I felt like 1000 males eyes pierced our skin. I swore they were staring at our bare shoulders, thinking what horrible Americans we were for going to their country and defaming their cultural tradition - smearing mahindi up and down our bodies and laying ourselves bare for the all eyes in the mall.
I just kept muttering to Shannon, "everyone is staring, this is really bad, ohmygod." Any you must understand, there is something about the male stare that is very obvious when it crosses the line from bearable curiosity to scary anger I am going to surround you kind of stare. It felt like the latter.
Shannon reassured me that it wouldn't be so bad after a while- I didn't believe her so I said let's go inside a jewelry shop and we can hide there. We walked into a shop and it was run by men. We both knew that we didn't want any of the jewelry but we dragged out our time there. I felt so uncomfortable but when I looked at shannon she was asking about larger pearls for a necklace so I thought maybe it was just in my head that I felt like we were naked if Shannon is actually jewelry shopping.
We walked out of the shop and walked around some more hoping that maybe what we experienced with the staring was just an initial reaction. Well women kept coming up to asking where we got our mahindi done while men just kept staring us down - I felt like they were eating my skin up.
Then we made a bad choice of saying let's go up the escalators to see if the next floor was more empty. NOPE. When we were on the escalators, every floor could see us and surrounding the circular ring on each floor men looked up as we slowly made our way up from the 2nd to the 3rd floor. We were totally bare and naked. Well at least it felt like it. Then we landed on the floor and walked into the food court - what a bad idea - everyone just kept looking while we had a few more women asking us where we got our mahindi done.
By then, we just couldn't handle it anymore and we made our down tje escalators again for the entire mall's eyes and back to the salon to wait out the rest of our drying time.
The whole entire process practically took 1 day. A total of 6 hours. And you can't have any water touch the henna or else it won't stain as long. In the end it was worth it, but I never again will I be stupid enough to even think for a moment that I can get away with wearing a tank top much less with henna dye in a big mall filled with men.
Well I do feel proud that we started a new madhindi trend - to have it twirl up to the shoulders! Innovations can happen when you have two nieve outsiders looking for some pretty body art!
But before I end the story I would like to defend my nieveness. Before I came to India, I thought that this would be a very easy country to experience. What I mean by easy is not the typical Western way of thinking of traveling, like wanting everything to be Western-like from toilets to food. What I had in mind was that India just wouldn't be a shocker. I didn't see it as that different. I thought well, I have a lot of Indian friends, many 1st generation and many 2nd generation who go back all the time to see their families. I had spoken to all of them and they gave me the 411 on what I needed to know. Then I thought English is widely spoken and they are the world's largest democracy, so it can't be that different. Plus what country can be shocker when they produce amazing Bollywood movies?
And I went to India with the intention of coming back with a suitcase of clothing. All pf my clothes are either made in China or India, so I thought how exciting I can go to India and find all these fashionable dresses and designer tops for such a discount!
Now my Indian friends warned me about how it was damgerous for me to walk around alone and that I should travel with a man, but I thought that was just typical advice that people give to any woman who travels alone - so I ignored it because just as many non-Indian people told me that India was dangerous and that I shouldn't be alone. I hate when people tell me that I am going to get mugged in NYC or kidnapped in Mexico by narco- gangs - I have always refused to fall into the stereotypes of any country or region and for that reason I think I am a very exploratorative but smart navigator of this world.
So with those thoughts in mind, I experienced the biggest culture shock ever. First, Indian english comes from British English - it can be quite hard to understand someone! In particular, Shannon and I didn't have a driver, so we were hailing down rickshaws for our transportations - but we (driver and us) could barely understand each other most of the time.
But the most shocking was the gender inequality. just visually you can see that men have the freedom to wear wEstern clothing - t-shirt and jeans. But most women wear traditional wear which means most of thier body is covered. There aren't many Western clothing shops for women and what shops there are - the clothing is so outdated. Most clothing shops in malls are for men. I didn't see any of the clothing that I find in the US that is made in India actually in India!
you can see the full set here: www.flickr.com/photos/triciawang/sets/72157606833461387/1. Mahindi Time!, 2. Mahindi Time!, 3. Mahindi Time!, 4. Mahindi Time!, 5. Mahindi Time!, 6. Mahindi Time!
Created with fd's Flickr Toys.
Drummers Nite Out
Members: Leonard King, Jerry LeDuff, Ozzie Rivera, Diego Melendez, Miguel Gutierrez, Mahindi Masai, Mark Stone, Javier Barrios and (saxophonist) Gregory King.
Guest Musicians: Bill Summers, Francisco Barrios, Gregory "El Greco" Freeman, Sundiata O M Mausi and Sewande Keita.
Performance December 9, 2012 The International Institute of Metropolitan Detroit, Detroit MI USA. Supported by the Lyman Woodard Organization.
Drummers Nite Out
Members: Leonard King, Jerry LeDuff, Ozzie Rivera, Diego Melendez, Miguel Gutierrez, Mahindi Masai, Mark Stone, Javier Barrios and (saxophonist) Gregory King.
Guest Musicians: Bill Summers, Francisco Barrios, Gregory "El Greco" Freeman, Sundiata O M Mausi and Sewande Keita.
Performance December 9, 2012 The International Institute of Metropolitan Detroit, Detroit MI USA. Supported by the Lyman Woodard Organization.
Included in the gallery LA MUSICA... www.flickr.com/photos/68026710@N03/galleries/721576321610...
Drummers Nite Out
Members: Leonard King, Jerry LeDuff, Ozzie Rivera, Diego Melendez, Miguel Gutierrez, Mahindi Masai, Mark Stone, Javier Barrios and (saxophonist) Gregory King.
Guest Musicians: Bill Summers, Francisco Barrios, Gregory "El Greco" Freeman, Sundiata O M Mausi and Sewande Keita.
Performance December 9, 2012 The International Institute of Metropolitan Detroit, Detroit MI USA. Supported by the Lyman Woodard Organization.
Flyer for performance of Drummers' Nite Out Dance Party 12-09-2012 at The International Institute of Metropolitan Detroit. Photo credit: Annette LeDuff.
Abi wanted to cover her body in mehendi (henna) as a celebration. After a weekend of covering the majority of her skin in words, designs and scripture I photographed her in the room she lived in last year as the sun came up. More photos to come...
Leonard King, Jerry LeDuff, Sewande Keita and Gregory "El Greco" Freeman performing with Drummers Nite Out.
Included in the gallery LA MUSICA... www.flickr.com/photos/68026710@N03/galleries/721576321610...
Diego Melendez loosens the lugs securing the heads of his bongos, post performance with Drummers Nite Out. Gregory King on the right.
Hello…! Guy’s…!
Simple Mehandi - Mehandi Video - મહેંદી - मेहंदी का डिजाइन - Back Mehndi Designs - MK Mehndi
I hope you will have a good time here.
Click on Links for TOP WATCHED Mehandi Design By MK Mehndi
મહેંદી ડિઝાઇન | Hand Mehndi Design | Arabian Mehandi | Mehndi Ki Design | Mehandi Ka Design | MK Mehndi
Khafif Mehndi Design | Arebik Mehndi Digain | Bridal Mehndi Image | Mehendi Design Front Hand Simple | MK Mehndi
मेहंदी डिजाइन सिंपल वाली | મહેંદી ડિઝાઇન | Khafif Mehandi | Mehandi Ki Design | Simpal Mehndi Dizain | MK Mehndi
મહેંદી ડિઝાઇન | Hand Mehndi Design | Arabian Mehandi | Mehndi Ki Design | Mehandi Ka Design | MK Mehndi
Mehandi Ke Design | মেহেদী ডিজাইন | Right Hand Mehndi Design | મહેંદી ડિઝાઇન | Best Mehendi Designs | MK Mehndi
মেহেদী ডিজাইন - Jewellery Mehandi Design - Mehandi Ke Design - મહેંદી ડિઝાઇન - Mehandi Mehandi | MK Mehndi
Mehandi Ke Design | মেহেদী ডিজাইন | Right Hand Mehndi Design | મહેંદી ડિઝાઇન | Best Mehendi Designs | MK Mehndi
Mehandi Ke Design | New Mehndi Design 2020 | Mehandi Design For Hands | Simple Mehendi Design | MK Mehndi
Easy Beautiful Mehendi Design Front Hand | New Simple Arabic Tattoo Mehndi Design For Hands | MK Mehndi
Mehandi Ke Design | মেহেদী ডিজাইন | Right Hand Mehndi Design | મહેંદી ડિઝાઇન | Best Mehendi Designs | MK Mehndi
#mehndi
#mehndidesign
#hennatattoo
#mkmehndi
simple mehandi,
mehandi video,
મહેંદી,
મેંદી,
મહેંદી ડિઝાઇન new,
ડિઝાઇન,
मेहंदी का डिजाइन,
back mehndi designs,
mehandi ki video,
hand mehndi design
mahindi,
mehandi niramulla,
easy mehndi design,
mehandi ke design,
mehandi ki design,
mehandi mehandi,
mehandi lagane ki design,
mehendi design,
mehendi design back hand simple,
arabian mehandi,
fancy mehandi design,
simple mehandi ki design,
mehandi design simple mein,
new mehndi design 2018 simple,
mk mehndi,
mkmehndi,
mkmehandi,
mk mehandi,
"Njaa inakuja kuanzia mwezi wa saba hadi mwezi wa pili kwasababu chakula tunakuwa tunakula alafu kinaisha, sisi hapa kwetu hatuna maghala makubwa kwasababu yale maghala makubwa hatukujizoesha kuwa nayo ndo sio sasa hivi tunaanza kujizoesha kuweka katika maghala, watoto wetu wachache ndio wanaugua utapiamlo, sio wote ni wachache tu, serikali ndio wanatusaidia kwasababu wanatuletea msaada kama vile mahindi tunanunua kilo tano kwa shilling hamsini ila kwa watu wasiokuwa na nguvu wanapewa tu bure, mi natoa wito kwamba watuletee pembejeo pamoja na trekta sisi wenyewe tunaweza tukajitahidi tukapata angalau heka tano tukaepukana na hali ya njaa. Dhana za kilimo hakuna watuletee matrekta sisi wenyewe tutalima na majembe madogomadogo kama vile “Ngwamba” Ambayo ni ya kusawazishia na kupandia lakini tunaomba sana serikali itupatie trekta ili tuepukane na njaa.
Kijiji chetu hiki hakina njia maalumu yaani barabara hakuna kutokana na mito mikali ndio maana tunashindwa kupata matrekta lakini tunaiomba serikali pia itusaidie kutupatia barabara, ila sasa hivi tunamchakato sisi wenywe walau tutoe shillingi elfu mbili kila mmoja walau barabara ya kupita baskeli na tunaiomba serikali itupe nguvu."
“Hunger starts from July to February, since the food we have finishes, here at home we don’t have huge storage since we are not used of having one, we are now beginning to practice putting in warehouses. our children are few are the ones suffering from Malnutrition, the government is the one helping us because they bring food such as maize and we purchase five kilos for 50/-, for people who cannot afford they get it for free. We are asking for farming infrastructures, we ourselves can try to farm up to five hectors so to avoid famine. They should bring us tractors, even ourselves can farm using small hoe such as “Ngwamba” Which is equalized for the ascent but we ask the government to give us a tractor to avoid the hungry.
Our village this has no specific way that is road because steep rivers, is why we failed to get the tractors but we are asking the government to also help by giving us roads, but right now we asking for at least two thousand shillings each ideally for bicycle road and we are asking the government to give us hope”
Photo PANITA/ Save the Children Tanzania
Nutritionists advise HIV-positive clients to eat a well-balanced diet, including mahindi maize, unga soya and maharagwe beans. In Kenya, the diet mainly consists of starch and carbohydrates which do not have enough vitamins or minerals. Vegetables not only help neutralize the side effects of anti-retroviral treatment, they also help to build up the body’s immunity. Photo: Brendan Bannon/International Federation (p-KEN0240)
More info: www.ifrc.org
Jerry LeDuff, Javier Barrios, Ozzie Rivera, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
Jerry LeDuff, Javier Barrios, Ozzie Rivera, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
Javier Barrios, Jerry LeDuff, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez and Ozzie Rivera ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
Mahindi Masai, Javier Barrios, Jerry LeDuff, Leonard King, Diego Melendez, Miguel Guttierrez, Ozzie Rivera ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
Mahindi Masai, Javier Barrios, Jerry LeDuff, Leonard King, Diego Melendez, Miguel Guttierrez, Ozzie Rivera ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
Jerry LeDuff, Javier Barrios, Ozzie Rivera, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
This photograph is copyrighted and may not be used in any way without permission. Contact me at : jackman_on_jazz@yahoo.com concerning use. Copies are available without watermarks and borders.
Detroit Jazz Festival Detroit, Michigan.
Javier Barrios, Jerry LeDuff, Miguel Guttierrez, Mahindi Masai, Leonard King, Diego Melendez and Ozzie Rivera ~ Members of Drummers Nite Out. Shot in Jerry LeDuff's studio.
This photograph is copyrighted and may not be used in any way without permission. Contact me at : jackman_on_jazz@yahoo.com concerning use. Copies are available without watermarks and borders.
Detroit Jazz Festival Detroit, Michigan.